Kiswahili kitaanza kufunzwa katika shule nchini Afrika kusini kuanzia mwaka 2020. Waziri wa elimu msingi, Angie Motshekga siku ya Jumatatu amesema kuwa Kiswahili kitafunzwa kama lugha mbadala kwa ...
WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amesema kuna haja ya kutafuta mbinu mpya ya kukieneza Kiswahili baada ya kuwa kimepata hadhi ...
Miongoni mwa visiwa vya kusini vya labyrinthine—ambapo upepo, mvua na baridi havitoi utulivu—Wakawésqar waliishi. Kundi la kuhamahama lilitumia muda mwingi wa siku katika mitumbwi yao wakitembelea ...
Leo ni Siku ya Kiswahili Ulimwenguni, iliyotangazwa na Umoja wa Mataifa mwaka 2021, kuipa heshima na kuitambuwa lugha hii ya ...
Mja anayeweza kuzungumza vizuri zaidi ya lugha moja hupata faida nyingi katika maisha ya kila siku na kazini. Waja wanaofahamu lugha nyingi hujifunza mengi kuhusu tamaduni nyingine. Wana uelewa wa ...
Afrika Kusini ni taifa lenye historia tata na yenye rangi nyingi za kitamaduni. Hili ndilo taifa pekee duniani ambalo katiba yake inazitambua rasmi lugha 11 kama lugha rasmi za taifa. Profesa Thandiwe ...
Leo hii, tunasherehekea Siku ya Kiswahili Duniani, siku maalum ya kutambua na kuenzi thamani ya lugha ya Kiswahili kama chombo muhimu cha mawasiliano, utambulisho wa tamaduni, na daraja la maelewano ...
Iwapo wapo sokoni, barabarani hata katika maeneo ya usafiri wa umaa wakaazi wanatumia kiswahili cha Lushi yaani cha jiji la Lubumbashi ambacho ni mchanga'nyiko wa maneno ya kiswahili na kifaransa.
Amewaeleza washiriak kuwa pindi lugha inapotoweka, inachukua kumbukumbu zote ambazo zilikuwemo ndani yake kwa kuwa “lugha za asili ni ishara za utambulisho wa watu, hubeba maadili, mbinu za maisha na ...
Wakati viongozi wa dunia, wanasayansi na watunga sera wanapokutana katika miji mikuu ya Dunia kujenga hoja kuhusu hatima ya sayari kupitia mikutano ya tabianchi ya Umoja wa Mataifa, Wataalamu wa lugha ...
Mtu yeyote mgeni nchini Australia anaweza fahamu umuhimu waku weka hai lugha yako ya mama. Lugha ni muhimu kwa utamaduni wako na lugha za asili za Australia si tofauti, kuwaunga watu na ardhi pamoja ...